Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi

Habari

  • Oct 01, 2020

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, Mhandisi John W. H. Kijazi, afanya ziara fupi ya utambulisho Chuo Kikuu cha Dodoma – 29/09/2020

Soma zaidi
  • Aug 21, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 21-08-2020 amemteua Mhe. Balozi Mhandisi, John William Herbert Kijazi kuwa Mku...

Soma zaidi
  • May 20, 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa Kapt (Mst) George H. Mkuchika azindua Bodi ya ushauri ya Wakala ya Nde...

Soma zaidi
  • Feb 29, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amemteua Balozi John W. H. Kijazi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ndege za Seri...

Soma zaidi
  • Jan 13, 2020

Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Bibi Bella Bird amuaga rasmi Katibu Mkuu Kiongozi 13 Januari, 2020

Soma zaidi
  • Jan 10, 2020

Ofisi ya Taifa ya Usalama Serikalini wakabidhi Kitabu cha Mwongozo wa Kanuni za Usalama Serikalini kwa Katibu Mkuu Kiongozi – Dodoma 10 Januari, 2020

Soma zaidi
  • Apr 02, 2019

Katibu Mkuu Kiongozi akabidhi ndege aina ya Fokker 50 kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) - 01 Aprili, 2019

Soma zaidi
  • Mar 07, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela, akutana na Katibu Mkuu Kiongozi – 07 Machi, 2019

Soma zaidi
  • Jan 15, 2019

Katibu Mkuu Kiongozi agawa Vitambulisho aya ziada vya Wajasiriamali wadogo wa Mkoa wa Dar Es Salaam.

Soma zaidi
  • Dec 06, 2018

Katibu Mkuu Kiongozi atembelea eneo kunakojengwa Mji wa Serikali, Ihumwa Jijini Dodoma leo, tarehe 6-12-2018

Soma zaidi
  • Sep 19, 2018

Katibu Mkuu Kiongozi, afungua Mkutano wa Faragha wa Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa uliofanyika katika Ukumbi wa Hazina – Dodom...

Soma zaidi
  • Aug 28, 2018

KATIBU MKUU KIONGOZI AMJULIA HALI WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHESHIMIWA DK. HAMISI KIGWANGALA – AGOSTI 28, 2018

Soma zaidi
  • Nov 23, 2017

Katibu Mkuu Kiongozi atembelea na kukagua eneo utakapojengwa Mji wa Kisasa wa Serikali, Ihumwa Mjini Dodoma. 23/11/2017

Soma zaidi
  • Sep 14, 2017

Katibu Mkuu Kiongozi akutana na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Mjini Dodoma, 14 Septemba, 2017

Soma zaidi
  • Sep 07, 2018

Katibu Mkuu Kiongozi amuwakilisha Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye ufunguzi wa Maadhimisho ya 15 ya siku ya Wahandisi Tanzania, Dodoma,...

Soma zaidi
  • Jul 20, 2017

KATIBU MKUU KIONGOZI APOKEA TAARIFA YA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA “STANDARD GAUGE” KUTOKA DAR ES SALAAM HADI MOROGORO – 19/07/2017

Soma zaidi
  • May 17, 2017

Katibu Mkuu Kiongozi akutana na ujumbe kutoka Serikali ya Hungary mjini Dodoma

Soma zaidi
  • Mar 14, 2017

Leo tarehe 14 Machi, 2017, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Mha. John W.H. Kijazi, amekutana kwa mazungumzo na wadau wa sukari nchini.

Soma zaidi
  • Mar 01, 2017

Katibu Mkuu Kiongozi ameongoza Mkutano wa Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu na Vikao vya Kazi vya Makatibu Wakuu wa Wizara zote hapa Dodoma 01 Machi, 2017.

Soma zaidi
  • Feb 06, 2017

Katibu Mkuu Kiongozi ashiriki katika kipindi cha Tunatekeleza TBC - 06 Februari, 2017

Soma zaidi