Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi

Habari

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, Hussein A. Kattanga, atembelea Makao Makuu ya Mamlaka Mapato Tanzania (TRA) Dar es Salaam 23/11/2021


Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, Hussein A. Kattanga, atembelea Makao Makuu ya Mamlaka Mapato Tanzania (TRA) Dar es Salaam, leo tarehe 23/11/2021 na kuongoza kikao kazi na menejimenti ya mamlaka hiyo pamoja na kutembelea Idara ya forodha na kujionea jinsi mfumo wa kuingiza na kuondoa shehena bandarini (TANCIS) unavyofanya kazi.