Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi

Habari

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi, Hussein A. Kattanga afanya ziara ya kikazi bandarini Dar es Salaam 03 Nov, 2021


Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein A. Kattanga leo tarehe 3/11/2021 amefanya ziara ya kikazi kwa kumetembelea Ofisi za Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania pamoja na kukagua maeneo mbalimbali ya Bandari ya Dar es Salaam.