Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi

Habari

Balozi Sefue (mwenye tai nyekundu) akifuatilia mada iliyokuwa ikiwasilishwa na Bi. Doe Meryer kutoka Ghana National Petroleum Company Ghana. Wengine katika picha kutoka kushoto ni Bw. Michael Mwanda, Mwenyekiti - Bodi ya Wakurugenzi (TPDC), Profesa Joseph Semboja Mkurugenzi Mtendaji wa Uongozi Institute na Bi. Valerie Marcel kutoka Chatham House, Uingereza. 02 Julai, 2015.


-